welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Friday, September 30, 2011

Beyonce Hates the Way Jay-Z Smells Now

Kama ilivo kwa wanawake wengi pindi wanapopata ujauzito mabadiliko mbalimbali hutokea katika maisha yao, ikiwa pamoja na kuchagua vyakula au kupenda aina fulani y chakula lakini kwa mwanamuziki Beyonce anasema kuwa since amepata ujauzito badiliko la kwanza kuliona ni kuchukia.

alisema hayo alipokuwa anapromote perfume yake mpya.  "I smell everything," she said. "If it smells bad, I smell it. My husband's fragrance, his one that I always love, I hate right now. So thank God I have this one!" alisema beyonce

Thursday, September 29, 2011

SASA ZAMU YA MISS UTALII DODOMA

Jumla ya warembo kumi na tano toka wilaya zote za mkoa wa Dodoma, wanatarajiwa kushindana vikali katika shindano la kumpata mrembo wa utalii wa mkoa wa Dodoma linalotarajiwa kufanyika 22-10-2011

Wednesday, September 28, 2011

Mabadiliko Tabianchi na Jinsi

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng Ngosi Mwihava akisalimiana na Mshauri Muelekezi Taasisi ya{IUCU}Bw Francois Rogers Mara Baada ya Kufungua Warsha ya Mkakati wa Mabadiliko ya Tabianchi na Jinsia kulia Msaidizi Mshauri Mwelekezi{IUCU}Bi Lorena Aguilar Warsh Imefanyika kwenye Hotel ya JB jengo la Benjamin Mkapa Mjini Dar es Salaam.
Baadhi ya Washiriki wa Warsha ya Mkakati wa Mabadiliko ya Tabianchi na Jinsia wakimsikiliza Mgeni Rasmi Naibu katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng Ngosi Mwihava{pichani hayupo}Warsha iliyofanyika Jengo la Benjamini Mkapa kwenye Hotel ya JB

K'BEST GENERAL SUPPLY NA MAAJABU YAO YA UBUYU

managing Director of K'best General supply, Kibibi Japhary
 They Specialized in Baobab tree. wameonesha maajabu ya uguyu yanavyoweza kutibu magonjwa mengi kwa wakati mmoja.

Kibibi Japhary anabainisha  product mbili tu zinazotengenezwa na K'best General suply ambazo ni Baobab Oil na Baobab Powder(unga na mafuta ya ubuyu) zaidi ya magonjwa 20 huponywa na products hizotu.

anasema kuwa imeshaonesha maajabu katika magonjwa kama Figo na Ini, husaidia kutengeneza sukari iwe katika kiwango kinachotakiwa, pia inatoa coresto ndani ya mishipa ya damu, kuimarisha kucha na nywele pia ni tiba ya mifupa.

hayo ni magonjwa ambayo hutibiwa na mafuta ya ubuyu tu ambapo pia ni mafuta mazuri sana kwa watu wenye ulemavu wa ngozi(albino), yanasaidia kuongeza CD4 mwilini. kwa vijana walioathirika na madawa ya kulevya pia huwasaida kuondokana na arosto hivyo kuacha kabisa. hutibu kabisa vidonda vya tumbo ndani ya siku 15. yanaondoa chunusi, fangasi na upele pia mba na magonjwa mengi sana.
"Ukiangalia upande wa unga wa ubuyu na vitamin C nyingi sana vya kutosha hivo husaidia kuongeza kumbukumbu kwa kiwango kikubwa sana, bila kusahau CD4 na pia ni Lishe nzuri sana kwa watoto". alisema Kibibi Japhary

"Zao hili la ubuyu limekuwa Tiba kwa watu wengi na husaidia kweli kama utatumia kama inavotakiwa ila angalizo wapo watu wanaotengeneza mafuta haya kwa kuchanganya na Alizeti hivo hushindwa kusaidia kitu. Kama kweli unataka kuondokana na Magonjwa mbalimbali hakikisha unanunua products hizi kwa mtu unaemjua na unauhakika nae kama sivyo utapata yaliyochakachuliwa" alimazia Kibibi

LEOPARD JEANS: ARE YOU IN LOVE WITH THIS TREND?


Tuesday, September 27, 2011

MASHINDANO YA NYAMA CHOMA

Mkurugenzi Mkuu wa TDL Bwana David Mgwasa akiwa na Wadau wa kampuni hiyo akiwaelekeza wine za Dodoma wine, Image wine na vinywaji vingine katika mashindano ya nyama choma.
wadau wakipata nyama choma wakishushia na imagi wine kwa pembeni
vivazi pia vilikuwepo, kama hivo hapo.
Mambo yalinoga saana, dodoma wine ilinunuliwa kama karanga vile, chupa moja ilikuwa ikienda kwa shilingi 10,000.

Friday, September 23, 2011