welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Monday, October 31, 2011

SWAHILI FASHION WEEK SHOPPING FESTIVAL/A WARDS/ RUN AWAY SHOW

BAADA YA SIKU 72 YA NDOA YAO, wHAT WENT wRONG?

Reality star Kim Kardashian is divorcing her husband Kris Humphries.

What exactly went wrong between the two newlyweds? One possible explanation: the two hardly knew each other. They only met last December, so it might be worth remembering Kim is filing for divorce from a man she hasn't even known a year.

Despite how publicly they both live, there was apparently a lot the two didn't know about each other. A recent episode of "Keeping Up with the Kardashians" revealed that Kris had no idea Kim was previously married (she eloped at age 19 and divorced in 2004). When Kim casually dropped the tidbit while the couple snacked with the family, a stunned Humphries repeatedly asked the family, "You guys are serious… she was really married?" Musing on the revelation later, Humphries asked the camera, "What else do I not know about her?" (We're guessing he did know about her not-G-rated video debut).


 Clearly communication wasn't their strong suit. In addition to his being unaware of her romantic past, their day-to-day interactions were no doubt quite limited: Their careers often kept them on separate ends of the world (literally and figuratively). And nothing spells "communication breakdown" better than a husband learning from a gossip site that he's getting a divorce.

When she spoke to People recently, Kim admitted that their living situation
had "not been ideal" for the newlyweds. To keep filming "Kourtney and Kim Take New York," Kim moved her husband into a hotel suite with her sister, her sister's child and the child's father (Scott Disick). Not your typical honeymoon situation, that's for sure.

The gossip grapevine also says that Kris was fed up with the film crew following the couple around constantly, worrying that the camera presence was ruining their marriage —which apparently did not jibe well with Kim, who thought the camera issue had been settled prior to the marriage.

After all, Kardashian ubiquity is a huge part of the not-so-secret secret to the family's success and for the duration of the short marriage, Kim was the only one working regularly. With the NBA lockout leaving him unemployed, Humphries had been taking it easy while his wife rushed around the planet promoting the Kardashian brand. A discrepancy in work ethic could lead to increased tensions in an already-difficult marriage.

And even though it was probably just done for additional publicity, you have to wonder what kind of married couple renews their vows just two months after making them: Earlier this month on "Ellen," the two exchanged vows for the second time in as many months. Whether that was a sign of an ailing relationship or the symptom of an over-publicized existence is anyone's guess.

 http://omg.yahoo.com/

KUELEKEA MISS WORLD....


hapa walienda kwa Dinner la nguvu Huko Scottish maeneo ya Scottish Hydro.


Warembo wanaowania Miss world wakiwa katika picha ya pamoja kwenye  safari ya kuelekea kumtafuta Mrembo wa Dunia.

Hapa Miss Vodacom Tanzania 2011 Salha Israel wa kwanza kushoto akiwa katika Vazi la Ufukweni na Wenzake katika maonesho ya Mavazi hayo hapo jana.

CARPET LA NGOZI YA MBUZI.


Ubunifu wa hali ya juu kutoka kwa designer wa Tanzania Fatma Amour

TIME FOR UBUNIFU: MAUA YA ASILI


 Inaanza kama hivi. hayo ni majani na miti mbalimbali inayotuzunguka kwenye mapori yetu hata kwenye makazi yetu pia
 hapa jani moja la mti likiwa lishapigwa msasa kidogo kama kusafishwa tu
 linakaushwa kidogo kwenye jua
 Kazi sasa inaanza na mbunifu wetu ndio huyo na uchafu wake wa majani hapo
 Eeeh ndio hvo kazi inaendelea taratiibu.
 taraatibu tu vitaanza kubadilika
 baadhi ya vipande vya matunda yaliyokaukwa hapo vikiwa vimerembwa kidogo
 ndio hivo tena ua linaanza kupendeza kama unavoona mwenzangu. haina haraka saana
 haya sasa kitu ndio hcho ingawa hakionekani vizuri ila najua umeelewa.
 hapo kimeshakamilika tayari kwa kuwekwa ndani. muonekano wa kipekee garama nafuu kutengeneza uchafu tu wa porini pia inasaidia hata hutunza mazingira jamani

Sunday, October 30, 2011

Thursday, October 27, 2011

KAZI IMEANZA MISS WORLD

Salha Izrael,Vodacom Miss Tanzania 2011 akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya warembo wanaoshiriki shindano la Dunia. Hapa wakiwa Scotland.

Hapo wakishiriki michezo ndani ya kambi nchini Uingereza na kwa bahati nzuri leo wametangaza warembo walioweza kuingia katika nusu fainali ya kumsaka mrembo mwenye kipaji na mwenye kipaji cha urembo ambapo kama kawaida yetu Tanzania bwana.

Hebu check waliofanikiwa hapa
For Sports
Group 1: Bonaire, Australia, Bahamas, Canada, Chile, Bolivia
Group 2: Czech Republic, Guatemala, Dominican Republic, Denmark, Hungary, Botswana
Group 3: Panama, Paraguay, Lithuania, Jamaica, Latvia, Portugal
Group 4: Trinidad & Tobago, Puerto Rico, Sweden, Singapore, Uganda, Scotland

For Talent
Paraguay, Iceland, Latvia, Malta, US Virgin Islands, Lithuania, Barbados, South Africa, Guatemala, Cayman Islands, Venezuela, Canada, Ukraine, Puerto Rico, Kazakhstan, Chile, St Barthelemy, China PR, Czech Republic and Indonesia.

Wednesday, October 26, 2011

PARTY in STYLE 29 OCTOBER 2011


SWAHILI FASHION WEEK, EAST AND CENTRAL AFRICA LARGEST FASHION EVENTS
OFFICIAL LAUNCH PARTY
  ON THE 29THOCTOBER  AT THE THAI VILLAGE, MASAKI FROM 9 PM ONWARDS.
PARTY WITH HARDCORE FASHIONISTAS, MODELS, DESIGNERS, CELEBRITIES AND THE WHO IS WHO OF TANZANIA.
SWAHILI FASHION WEEK IS THE TALK OF THE TOWN, THE LAUNCH PARTY IS JUST THE BEGINNING, DRESS TO IMPRESS, DEFINE FASHION,
GET YOUR GROOVE READY TO HIT THE STYLISH DANCE FLOOR

Wednesday, October 12, 2011

Mrs Ebby Mtarajiwa

 ndivyo alivyoanza hapo akiingia ukumbuni kwa mbwembwe zote. Hii ni Kitchen part jamani, Aaah utamtaka
 Ni pozi tu ,,,,Ndie mwenyewe huyo Bi harusi wetu mtarajiwa baada ya kuingia ukumbini. Pendeza sana doll nani atapinga sasa?
 Hapo sasa pozi lingine hilooo unaonaje? Angalia Colour ya Bibi harusi wetu mtarajiwa na colour ya nguo yake. vilivomatch. fundisho kwetu pia hata katika maisha yako ya kila siku penda kununua nguo zenye rangi ya kuvutia kutokana na rangi yako, sio mweusi na we umepiga full nyeusi utakuwa umefifia lazima. nitakuletea tip hizo siku si nyingi
Akiwa amepozi kwenye kiti chake hapo
 Muda wa keki ukawadia na watu tukaila kama kawaida
Mama shuhuli hakukosekana jamani, Bi harusi mtarajiwa akiwa na Mama shuhuli Teresa Chilambo

Wednesday, October 5, 2011

LETS TALk ON WOMEN'S DRESS SHOES.

Blue suede shoes never looked so good.

Faux-Suede Wedge Booties, these wedge bootie go with just about everything



Patent Ballerina Flat, his neon shade is too adorable to pass up.


Velvet "Valerina" Ballet Pumps

Womens Dress Pumps from Steve Madden


All eyes will be on you, it has a Leather or patent upper with a Man-made lining. Sexy


This is very adorable, stylish platform heels. Featuring, canvas upper, round vamp and round peep toes.

This very adorable yet stylish MaryJane platform heels. Featuring, smooth velvet, mid buckle strap closure, round vamp, round...

Very stylish pump heels featuring animal print with faux leather upper, almond shaped closed toe and smooth lining,