welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Thursday, October 27, 2011

KAZI IMEANZA MISS WORLD

Salha Izrael,Vodacom Miss Tanzania 2011 akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya warembo wanaoshiriki shindano la Dunia. Hapa wakiwa Scotland.

Hapo wakishiriki michezo ndani ya kambi nchini Uingereza na kwa bahati nzuri leo wametangaza warembo walioweza kuingia katika nusu fainali ya kumsaka mrembo mwenye kipaji na mwenye kipaji cha urembo ambapo kama kawaida yetu Tanzania bwana.

Hebu check waliofanikiwa hapa
For Sports
Group 1: Bonaire, Australia, Bahamas, Canada, Chile, Bolivia
Group 2: Czech Republic, Guatemala, Dominican Republic, Denmark, Hungary, Botswana
Group 3: Panama, Paraguay, Lithuania, Jamaica, Latvia, Portugal
Group 4: Trinidad & Tobago, Puerto Rico, Sweden, Singapore, Uganda, Scotland

For Talent
Paraguay, Iceland, Latvia, Malta, US Virgin Islands, Lithuania, Barbados, South Africa, Guatemala, Cayman Islands, Venezuela, Canada, Ukraine, Puerto Rico, Kazakhstan, Chile, St Barthelemy, China PR, Czech Republic and Indonesia.

No comments: