welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Saturday, February 21, 2015

Kuelekea Tuzo za Oscar tarehe 22 February.. Wanaharakati wacharuka




 
Baadhi ya makundi ya haki za kiraia nchini Marekani yamesema kuwa, Tunzo za Oscar za mwaka huu zime kosa utofauti baada ya waigizaji wote 20 walioteuliwa kuwa ni wazungu huku muigizaji katika filamu iliyofanya vizuri ya Selma akikosa uteuzi huo.

Wanaharakati hao wamesema kuwa wanapanga kuandama nje ukumbi siku ya Jumapili wakati wa sherehe za utoaji wa tuzo hizo.




SELMA Ni filamu ya kiharakati na haki za kiraia inayo muelezea Mwanaharakati Martin Luther King ijulikanayo kama Selma.

Pamoja na kufanya vizuri kwa sasa, muhusika mkuu katika filamu hii hakuweza kuteuliwa kabisa katika vipengele kama muigizaji bora.

Wadau wa burudani wanasema kuwa filamu ya selma imebeba ujumbe mzito kwa jamii na wanashangaa Muhusika mkuu kuto teuliwa katika vipengele vya Oscar.



Lengo la maandamano hayo ni kufikisha ujumbe kwa kamati ya Oscar, Hollywood na sekta ya filamu kwa ujumla



Kumekuwa na mijadala mbalimbali inayoendelea katika mitandao ya kijamii na vyombo vya habari tangu uteuzi wa tunzo hizo zilipo tangazwa.

Monday, June 30, 2014

Beyonce tops Forbes celebrity power list



Beyonce has topped the Forbes celebrity power list for the first time since her debut on the list in 2004.
The singer, who has earned an estimated $115m (£67.4m) in the last year, was joined by her husband Jay-Z at number 6, who made $60m (£35.1m).
The pair are currently on a joint tour of the US.
Last year, they were named the highest-earning celebrity couple by Forbes. In 2013, they jointly earned an estimated $95m (£59m).
Forbes' Celebrity 100 also takes into account fame, which the magazine measures by counting the number of mentions in print, TV and radio.
It also uses a score system that measures social media power across 11 platforms, including Twitter, Facebook and YouTube.
Basketball player LeBron James is ranked second place on this year's list, while hip hop star Dr Dre occupies third spot with the highest takings in this year's Top 10 - $620m (£363m).
Source: BBC

BET Awards 2014




The 2014 BET Awards ceremony took place Sunday, and the night's big winner was Beyonce. The pop superstar nabbed three awards, including the 2014 FANdemonium award, voted on by viewers. Pharrell Williams and August Alsina also had a happy night, taking home two awards apiece.  
Nicki Minaj won for best female hip hop star, and in her acceptance speech, she praised herself as a hip-hop star who doesn't have someone writing for her, an apparent dig at Iggy AzaleaDrake beat out Jay Z for best male hip hop star.
12 Years a Slave was chosen as best movie, with the film's stars, Lupita Nyong’o and Chiwetel Ejiofor, taking home acting awards. Lionel Richie was honored as the lifetime achievement award recipient. 
One memorable moment of the night was Kevin Hart interrupting presenter Kerry Washington and referring to himself as "Oliver Pope," a reference to Washington's Scandal character, Olivia Pope. At another point, host Chris Rock tried to one-up 2014 Oscar host Ellen DeGeneres by passing out chicken and waffles from L.A. favorite Roscoe's.
The awards began under the shadow of violence, with one man shot to death and another stabbed in two separate pre-show incidents. BET said the preshow parties at which the violence occurred were not officially affiliated with the awards show. During the show, Rock joked that this is the only awards show where people worry about their safety.

The 2014 BET Awards ceremony took place Sunday, and the night's big winner was Beyonce. The pop superstar nabbed three awards, including the 2014 FANdemonium award, voted on by viewers. Pharrell Williams and August Alsina also had a happy night, taking home two awards apiece.   - See more at: http://www.hollywoodreporter.com/news/bet-awards-2014-winners-list-715588#sthash.xIZUzsOG.dpuf
The 2014 BET Awards ceremony took place Sunday, and the night's big winner was Beyonce. The pop superstar nabbed three awards, including the 2014 FANdemonium award, voted on by viewers. Pharrell Williams and August Alsina also had a happy night, taking home two awards apiece.   - See more at: http://www.hollywoodreporter.com/news/bet-awards-2014-winners-list-715588#sthash.xIZUzsOG.dpuf

Sunday, June 29, 2014

Day 2

 baadhi y mikutano michche





 Lunch at lookman





 Some charting kidogo
This is mama Cake ni maarufu kwa jina hilo, mtengenezaji mzuri wa cake

Day 1 in Zabnzibar

 Muda wa kazi sasa
with the boss
 here with mya colleagues, eneo la kwanza kufika ni forodhani, hili ni eneo la kupumzikia kwa wenyeji na kuna vitu vingi vya ktalii






huu ni mchezo wa makachu watoto wakizanzibar wngi hupendelea kucheza mida ya jion




Sometime is bettere to relax


Urojo time with mama urojo hapa

Back to business


Trip to Zanzibar