welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Thursday, September 29, 2011

SASA ZAMU YA MISS UTALII DODOMA

Jumla ya warembo kumi na tano toka wilaya zote za mkoa wa Dodoma, wanatarajiwa kushindana vikali katika shindano la kumpata mrembo wa utalii wa mkoa wa Dodoma linalotarajiwa kufanyika 22-10-2011

No comments: