welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Wednesday, September 28, 2011

Mabadiliko Tabianchi na Jinsi

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng Ngosi Mwihava akisalimiana na Mshauri Muelekezi Taasisi ya{IUCU}Bw Francois Rogers Mara Baada ya Kufungua Warsha ya Mkakati wa Mabadiliko ya Tabianchi na Jinsia kulia Msaidizi Mshauri Mwelekezi{IUCU}Bi Lorena Aguilar Warsh Imefanyika kwenye Hotel ya JB jengo la Benjamin Mkapa Mjini Dar es Salaam.
Baadhi ya Washiriki wa Warsha ya Mkakati wa Mabadiliko ya Tabianchi na Jinsia wakimsikiliza Mgeni Rasmi Naibu katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng Ngosi Mwihava{pichani hayupo}Warsha iliyofanyika Jengo la Benjamini Mkapa kwenye Hotel ya JB

No comments: