welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Friday, September 30, 2011

Beyonce Hates the Way Jay-Z Smells Now

Kama ilivo kwa wanawake wengi pindi wanapopata ujauzito mabadiliko mbalimbali hutokea katika maisha yao, ikiwa pamoja na kuchagua vyakula au kupenda aina fulani y chakula lakini kwa mwanamuziki Beyonce anasema kuwa since amepata ujauzito badiliko la kwanza kuliona ni kuchukia.

alisema hayo alipokuwa anapromote perfume yake mpya.  "I smell everything," she said. "If it smells bad, I smell it. My husband's fragrance, his one that I always love, I hate right now. So thank God I have this one!" alisema beyonce

No comments: