
Mkurugenzi Mkuu wa TDL Bwana David Mgwasa akiwa na Wadau wa kampuni hiyo akiwaelekeza wine za Dodoma wine, Image wine na vinywaji vingine katika mashindano ya nyama choma.

wadau wakipata nyama choma wakishushia na imagi wine kwa pembeni

vivazi pia vilikuwepo, kama hivo hapo.

Mambo yalinoga saana, dodoma wine ilinunuliwa kama karanga vile, chupa moja ilikuwa ikienda kwa shilingi 10,000.
No comments:
Post a Comment