welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Tuesday, September 17, 2013

HELLOO GERMANY




 one of the blogger from Zimbabwe akitoa mada katika Media Congress iliyofanyika Germany Mwezi huu
 The Blogger from ghana presenting about creating the New Africa Image. Moja ya point zake ni kuwa no more news about poverty and other blaa blaa in Africa nw,the new Africa  is  full of creativity, trade and entrepreneurship
 These are lady from Germany

Bloggers in Discussion
 Presentation zilikuwa zakutosha especially for bloggers and others

Wilhelmina Bridge" ni daraja linalotenganisha e mji mkongwe wa Hamburg na mji mpya wa Hamburg nchini Ujerumani. hizo kufuli zinazooneka ni ishara ya viapo vya wanandoa wengi mjini humo ambapo baada ya kufunga ndoa huja na kufuli zao na kuzibana hapo kama ishara ya kulitunza penzi l;ao hadi kifo kitakapowatenganisha

  
The msosi time
Participants in the public transport hapo ni ndani ya train kama ya mwakyembe


And the shopping too

 The goodtimes in Hamburg

Thursday, September 5, 2013

WHITE PARTY LUDA ILIVOFANA


Future, Larenz Tate, and Ludacris
 

Eudoxie arrives with LeToya Luckett and Ludacris
Ludacris
LeToya Luckett and Eudoxie Attend LudaDay's White Party
Letoya Luckett & Eudoxie
Teyana Taylor and Terrence J attend LudaDay Weekend White Party
Teyana Taylor  posed with Terrence J.
Teyana Taylor arrives at LudaDay's White Party
Ludacris and Usher attends LudaDay Weekend White Party
Usher
Tahiry Jose attend LudaDay White Party 5

  Tahiry Jose
Tahiry Jose and Angela Yee LudaDay White Party
Tahiry also gave a back view while posing with Angela Yee.
Usher and LeToya Luckett attends LudaDay Weekend White Party
Usher & Letoya Luckett

Kenny Burns, Ludacris, Usher, Larenz Tate, and Tyrese
The fellas: Kenny Burns, Ludacris, Larenz Tate, Usher, & Tyrese.

Inakuja: FILAMU YA MAISHA YA NELSON MANDELA YATOKA


Winnie Mandela
Not only does Jennifer Hudson star as Winnie Mandela in the upcoming biopic, she also lends her powerful voice to the soundtrack. The Oscar winner pours her heart out on “Bleed for Love” featuring South Africa’s Soweto Gospel Choir. The big ballad was written by Diane Warren and produced by Harvey Mason Jr., Laurent Eyquem, and David Franco.
“‘Bleed for Love’ has such an incredible and meaningful message about the power of love and the extension of the human heart,” said Hudson. “Diane wrote a beautiful song and it was an honor to work with her and the rest of the team to create this powerful piece of music.”
The Winnie Mandela soundtrack is available now, while the film hits theaters on Sept. 6.
Listen to J-Hud deliver chills with her stirring song.

Monday, July 29, 2013

Nando atolewa ndani ya jumba la Big Brother baada ya kuonesha utovu wa nidham



Breaking News: Nando Disqualified-Elikem gets a Strike
Mshiriki wa kiume toka Tanzania aliyekua anatuwakilisha katika shindano la Big Brother Africa "The Chase" leo ametolewa nje ya jumba hilo na kusitisha uwepo wake katika shindano hilo lililojipatia umaarufu sana barani Afrika.

Tukio hilo limetokea baada ymalumbano kati ya NANDO na ELIKEM yaliyotokea Ijumaa ambapo walitukanana sana, lakini chanzo cha ugomvi huo kikionekana kua ni Nando.


Mbali na ugomvi huo NANDO aliwahi kukamatwa na KISU katika party ya Channel O jumamosi moja akapewa onyo. Ugomvi wa Ijumaa lilikuwa kosa la 2 na kosa la 3 aliloambiwa kwenye diary room ni kuongea maneno ya vitisho dhidi ya ELIKEM kua..."I feel like stabbing him. A nigga like that deserves to die".Pamoja na kukamatwa na Mkasi chini ya kitanda chake, basi bwana NANDO safari yake ikawa imeishia hapo.

NEW SITE IN TOWN

  
Meetnawe is a new social utility that brings all new people together to meet with you. Meetnawe also connects you with your favorite radio programs or tv programs.
     Meetnawe is the combination of two words “Meet” and “Nawe”. Nawe is the Bantu language (Swahili) which is the abbreviation of “Na wewe” which means “With you”. Meetnawe means MEET WITH YOU.

     Electronic media, Meetnawe gives the opportunity to the electronic media (tvs and radios) to create a special account for their programs. By doing so, Meetnawe makes a connection between them and their audiences.

     We thank you for considering us, and we guarantee you that you will enjoy staying with us.

Tuesday, June 18, 2013

Moto wateketeza mali Kariakoo


Hali ikiwa tete.

Moto ukiunguza paa la baa hiyo.

Shock  ya umeme ikitokea karibu na jengo hilo.

Watu waliojaa kushuhudia tukio hilo.

Moto mkubwa umezuka jijini Dar es Salaam karibu kabisa na Soko Kuu la Kariakoo leo asubuhi na kuteketeza baa moja. Chanzo cha moto huo inadaiwa kuwa ni hitilafu ya umeme iliyotokea jirani na baa hiyo.

source: wajanjawatowns.blogspot.com

KONYAGI YAWAPIGA MSASA WABUNGE KUHUSU BIASHARA VIROBA




 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa, akionesha kinywaji cha Afrika Kusini kilichofungwa kwenye viroba kama ambavyo Konyagi inafanya hapa nchini.Vinywaji kama hivyo vipo karibu nchi nyingi Ulimwenguni.

 Meneja wa Masoko wa Konyagi, Joseph Chibehe akielezea jinsi vinywaji vyao vinavyochangia mapato ta serikali
 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo,Maji na Mifugo, Said Nkumba akichangia mada hiyo kwa kuviasa baadhi ya vyombo vya habari kuacha kuandika habari za kudidimiza viwanda vya haba nchini. Kulia ni Idd Azzan Mbunge wa Kinondoni na Dunstan Kitandula ambaye ni Makamu Mwenyekiti was  Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara.
                               Bidhaa mbalimbali zikiwa zimfungwa kwenye viroba
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa () akifafanua jambo katika semina ya wajumbe wa Kamati mbili za Bunge za Uchumi,Viwanda na Biashara  pamoja na Kilimo,Maji na Mifugo kuhusu baadhi ya vyombo vya habari vyenye uhusiano na nchi jirani vinavyotumika kupiga vita viwanda vya ndani kikiwemo cha Konyagi. Semina hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki mjini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Amos Makala, akichangia mada katika semina hiyo. Kushoto ni Naibu Waziri wa TAMISEMI, Kassim Majaliwa na Said Nkumba.
 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara, Dunstan Kitandula akichangia mada hiyo.