welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Tuesday, September 17, 2013

HELLOO GERMANY




 one of the blogger from Zimbabwe akitoa mada katika Media Congress iliyofanyika Germany Mwezi huu
 The Blogger from ghana presenting about creating the New Africa Image. Moja ya point zake ni kuwa no more news about poverty and other blaa blaa in Africa nw,the new Africa  is  full of creativity, trade and entrepreneurship
 These are lady from Germany

Bloggers in Discussion
 Presentation zilikuwa zakutosha especially for bloggers and others

Wilhelmina Bridge" ni daraja linalotenganisha e mji mkongwe wa Hamburg na mji mpya wa Hamburg nchini Ujerumani. hizo kufuli zinazooneka ni ishara ya viapo vya wanandoa wengi mjini humo ambapo baada ya kufunga ndoa huja na kufuli zao na kuzibana hapo kama ishara ya kulitunza penzi l;ao hadi kifo kitakapowatenganisha

  
The msosi time
Participants in the public transport hapo ni ndani ya train kama ya mwakyembe


And the shopping too

 The goodtimes in Hamburg

No comments: