welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Monday, July 29, 2013

Nando atolewa ndani ya jumba la Big Brother baada ya kuonesha utovu wa nidham



Breaking News: Nando Disqualified-Elikem gets a Strike
Mshiriki wa kiume toka Tanzania aliyekua anatuwakilisha katika shindano la Big Brother Africa "The Chase" leo ametolewa nje ya jumba hilo na kusitisha uwepo wake katika shindano hilo lililojipatia umaarufu sana barani Afrika.

Tukio hilo limetokea baada ymalumbano kati ya NANDO na ELIKEM yaliyotokea Ijumaa ambapo walitukanana sana, lakini chanzo cha ugomvi huo kikionekana kua ni Nando.


Mbali na ugomvi huo NANDO aliwahi kukamatwa na KISU katika party ya Channel O jumamosi moja akapewa onyo. Ugomvi wa Ijumaa lilikuwa kosa la 2 na kosa la 3 aliloambiwa kwenye diary room ni kuongea maneno ya vitisho dhidi ya ELIKEM kua..."I feel like stabbing him. A nigga like that deserves to die".Pamoja na kukamatwa na Mkasi chini ya kitanda chake, basi bwana NANDO safari yake ikawa imeishia hapo.

No comments: