welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Tuesday, June 18, 2013

Moto wateketeza mali Kariakoo


Hali ikiwa tete.

Moto ukiunguza paa la baa hiyo.

Shock  ya umeme ikitokea karibu na jengo hilo.

Watu waliojaa kushuhudia tukio hilo.

Moto mkubwa umezuka jijini Dar es Salaam karibu kabisa na Soko Kuu la Kariakoo leo asubuhi na kuteketeza baa moja. Chanzo cha moto huo inadaiwa kuwa ni hitilafu ya umeme iliyotokea jirani na baa hiyo.

source: wajanjawatowns.blogspot.com

KONYAGI YAWAPIGA MSASA WABUNGE KUHUSU BIASHARA VIROBA




 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa, akionesha kinywaji cha Afrika Kusini kilichofungwa kwenye viroba kama ambavyo Konyagi inafanya hapa nchini.Vinywaji kama hivyo vipo karibu nchi nyingi Ulimwenguni.

 Meneja wa Masoko wa Konyagi, Joseph Chibehe akielezea jinsi vinywaji vyao vinavyochangia mapato ta serikali
 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo,Maji na Mifugo, Said Nkumba akichangia mada hiyo kwa kuviasa baadhi ya vyombo vya habari kuacha kuandika habari za kudidimiza viwanda vya haba nchini. Kulia ni Idd Azzan Mbunge wa Kinondoni na Dunstan Kitandula ambaye ni Makamu Mwenyekiti was  Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara.
                               Bidhaa mbalimbali zikiwa zimfungwa kwenye viroba
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa () akifafanua jambo katika semina ya wajumbe wa Kamati mbili za Bunge za Uchumi,Viwanda na Biashara  pamoja na Kilimo,Maji na Mifugo kuhusu baadhi ya vyombo vya habari vyenye uhusiano na nchi jirani vinavyotumika kupiga vita viwanda vya ndani kikiwemo cha Konyagi. Semina hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki mjini Dodoma.
 Naibu Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Amos Makala, akichangia mada katika semina hiyo. Kushoto ni Naibu Waziri wa TAMISEMI, Kassim Majaliwa na Said Nkumba.
 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara, Dunstan Kitandula akichangia mada hiyo.

Monday, May 27, 2013

FEDHA KESSY NA NANDO WAIWAKILISHA TANZANIA KWENYE SHINDANO LA BIG BROTHER THE CHASE 2013.


IMG_0156
Kundi la Mafikizolo la nchini Afrika Kusini likitoa burudani wakati wa uzinduzi wa show ya Big Brother-The Chase iliyorushwa Live na Channel za DStv 197 na 198 jijini Johannesburg usiku huu. Shindano la Big Brother-The Chase limedhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel. (Picha na Dewji Blog)
IMG_0140
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo waandishi wa habari kutoka nchin mbalimbali za Afrika kushuhudia Live uzinduzi huo.
IMG_0209
Mwakilishi kutoka Tanzania Nando akihojiwa na Mtangazaji wa kipindi hicho Ik wakati wa uzinduzi wa show hiyo.Kushoto patna wa Nando Mshiriki kutoka Namibia Cleo.
IMG_0226
Mwakilishi wa Tanzania Fedha Kessy akiwasalimu mashabiki wake kwa kuwapungia bendera ya Tanzania. Kulia ni mtangazaji wa Shindano la Big Brother The Chase 2013 Ik.
IMG_0231
Mtangazaji IK akifanya mahojiano na Patna wa Mwakilishi wa Tanzania Mshiriki kutoka Ghana Elikem wakati wa uzinduzi wa Shindano la Big Brother The Chase lililozinduliwa rasmi leo jijini Johannesburg Afrika Kusini ambapo washiriki watakaa ndani ya jumba hilo kwa siku 90 na mshindi kujinyakulia kitita cha Usd 300,000. Kulia ni Fedha Kessy mshiriki kutoka Tanzania.
IMG_0235
Mtangazaji IK akimtambulisha rasmi mshiriki kutoka Tanzania Fedha Kessy kwa Patna wake Mshiriki kutoka Ghana Elikem wakati wa uzinduzi wa shindano hilo leo jijini Johannesburg.


Tuesday, April 2, 2013

WHAT A BIG LOSS?

Ikiwa ni siku chache tu zimepita tangu Tanzania tupate janga la Kuanguka kwa gorofa lililokuwa linajengwa  mtaa wa Indira Gandhi



Mpaka nleo hii bado shuhuli za kuokoa bado zinaendelea tanzania tunapata janga lingine tena huko jijini Arusha eneo la mgodini ambapo watu zaidi ya 20 sasa wanasadikiwa kufukiwa na kifusi hicho ambao walikuwa wakichimba  mchanga aina ya Moramu katika machimbo  yaliyopo Moshono nje kidogo ya jiji la Arusha.

Mungu tusaidie.

Mali conflict


the story begun in  2012 Malian coup d'état began on 21 March, when mutinying Malian soldiers, displeased with the management of the Tuareg rebellion, attacked several locations in the capital Bamako, including the presidential palace, state television, and military barracks. The soldiers, who said they had formed the National Committee for the Restoration of Democracy and State, declared the following day that they had overthrown the government of Amadou Toumani Touré, forcing him into hiding. The coup was followed by "unanimous" international condemnation, harsh sanctions by Mali's neighbors, and the swift loss of northern Mali to Tuareg forces,On 6 April, the junta agreed with Economic Community of West African States (ECOWAS) negotiators that they would step down from power in return for the end of sanctions, giving power to a transitional government led by parliament speaker Dioncounda Traoré. In the following days, both Touré and coup leader Amadou Sanogo formally resigned; however, as of 16 May, the junta was still "widely thought to have maintained overall control".
Today EU troops begin training mission,
An EU mission to train Malian soldiers is due to begin as part of efforts to help the West African country counter an Islamist insurgency.
The first of four Malian battalions will train under European instructors at the Koulikoro base some 60km (37 miles) from the capital, Bamako.
A French-led intervention that began in January has regained the main cities of northern Mali from Islamist groups.

However, fighting continues in the north.
Of the 550 troops from 22 EU nations sent to Mali, about 150 are trainers with the rest made up of mission support staff and force protection.
France is the biggest contributor to the force with 207 troops, followed by Germany with 71, Spain with 54, Britain 40, the Czech Republic 34, Belgium 25 and Poland 20.
Training takes place under the control of French Brigadier General Francois Lecointre and is expected to continue for about 15 months.
"Objectively, it [the army] must be entirely rebuilt," said Gen Lecointre.
"The Malian authorities are well aware of the need to reconstruct the army, very aware that Mali almost disappeared due to the failings of the institution."

The first fully trained battalion of Malian troops is expected to be operational in July.
Islamist groups took advantage of a coup in March 2012 to seize the vast north of Mali including major cities including Gao, Kidal and Timbuktu.
They imposed a strict form of Islamic law in the area.
France intervened after saying the al-Qaeda-linked militants threatened to march on Bamako.
France is now preparing to withdraw its 4,000 troops fighting in Mali, which will be replaced by forces from several West African countries.
French President Francois Hollande said troop levels would be halved by July and reduced to about 1,000 by the end of the year.


The African force in Mali currently numbers about 6,300 soldiers.