welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Monday, May 27, 2013

FEDHA KESSY NA NANDO WAIWAKILISHA TANZANIA KWENYE SHINDANO LA BIG BROTHER THE CHASE 2013.


IMG_0156
Kundi la Mafikizolo la nchini Afrika Kusini likitoa burudani wakati wa uzinduzi wa show ya Big Brother-The Chase iliyorushwa Live na Channel za DStv 197 na 198 jijini Johannesburg usiku huu. Shindano la Big Brother-The Chase limedhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel. (Picha na Dewji Blog)
IMG_0140
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo waandishi wa habari kutoka nchin mbalimbali za Afrika kushuhudia Live uzinduzi huo.
IMG_0209
Mwakilishi kutoka Tanzania Nando akihojiwa na Mtangazaji wa kipindi hicho Ik wakati wa uzinduzi wa show hiyo.Kushoto patna wa Nando Mshiriki kutoka Namibia Cleo.
IMG_0226
Mwakilishi wa Tanzania Fedha Kessy akiwasalimu mashabiki wake kwa kuwapungia bendera ya Tanzania. Kulia ni mtangazaji wa Shindano la Big Brother The Chase 2013 Ik.
IMG_0231
Mtangazaji IK akifanya mahojiano na Patna wa Mwakilishi wa Tanzania Mshiriki kutoka Ghana Elikem wakati wa uzinduzi wa Shindano la Big Brother The Chase lililozinduliwa rasmi leo jijini Johannesburg Afrika Kusini ambapo washiriki watakaa ndani ya jumba hilo kwa siku 90 na mshindi kujinyakulia kitita cha Usd 300,000. Kulia ni Fedha Kessy mshiriki kutoka Tanzania.
IMG_0235
Mtangazaji IK akimtambulisha rasmi mshiriki kutoka Tanzania Fedha Kessy kwa Patna wake Mshiriki kutoka Ghana Elikem wakati wa uzinduzi wa shindano hilo leo jijini Johannesburg.


Tuesday, April 2, 2013

WHAT A BIG LOSS?

Ikiwa ni siku chache tu zimepita tangu Tanzania tupate janga la Kuanguka kwa gorofa lililokuwa linajengwa  mtaa wa Indira Gandhi



Mpaka nleo hii bado shuhuli za kuokoa bado zinaendelea tanzania tunapata janga lingine tena huko jijini Arusha eneo la mgodini ambapo watu zaidi ya 20 sasa wanasadikiwa kufukiwa na kifusi hicho ambao walikuwa wakichimba  mchanga aina ya Moramu katika machimbo  yaliyopo Moshono nje kidogo ya jiji la Arusha.

Mungu tusaidie.

Mali conflict


the story begun in  2012 Malian coup d'état began on 21 March, when mutinying Malian soldiers, displeased with the management of the Tuareg rebellion, attacked several locations in the capital Bamako, including the presidential palace, state television, and military barracks. The soldiers, who said they had formed the National Committee for the Restoration of Democracy and State, declared the following day that they had overthrown the government of Amadou Toumani Touré, forcing him into hiding. The coup was followed by "unanimous" international condemnation, harsh sanctions by Mali's neighbors, and the swift loss of northern Mali to Tuareg forces,On 6 April, the junta agreed with Economic Community of West African States (ECOWAS) negotiators that they would step down from power in return for the end of sanctions, giving power to a transitional government led by parliament speaker Dioncounda Traoré. In the following days, both Touré and coup leader Amadou Sanogo formally resigned; however, as of 16 May, the junta was still "widely thought to have maintained overall control".
Today EU troops begin training mission,
An EU mission to train Malian soldiers is due to begin as part of efforts to help the West African country counter an Islamist insurgency.
The first of four Malian battalions will train under European instructors at the Koulikoro base some 60km (37 miles) from the capital, Bamako.
A French-led intervention that began in January has regained the main cities of northern Mali from Islamist groups.

However, fighting continues in the north.
Of the 550 troops from 22 EU nations sent to Mali, about 150 are trainers with the rest made up of mission support staff and force protection.
France is the biggest contributor to the force with 207 troops, followed by Germany with 71, Spain with 54, Britain 40, the Czech Republic 34, Belgium 25 and Poland 20.
Training takes place under the control of French Brigadier General Francois Lecointre and is expected to continue for about 15 months.
"Objectively, it [the army] must be entirely rebuilt," said Gen Lecointre.
"The Malian authorities are well aware of the need to reconstruct the army, very aware that Mali almost disappeared due to the failings of the institution."

The first fully trained battalion of Malian troops is expected to be operational in July.
Islamist groups took advantage of a coup in March 2012 to seize the vast north of Mali including major cities including Gao, Kidal and Timbuktu.
They imposed a strict form of Islamic law in the area.
France intervened after saying the al-Qaeda-linked militants threatened to march on Bamako.
France is now preparing to withdraw its 4,000 troops fighting in Mali, which will be replaced by forces from several West African countries.
French President Francois Hollande said troop levels would be halved by July and reduced to about 1,000 by the end of the year.


The African force in Mali currently numbers about 6,300 soldiers.


Tuesday, March 26, 2013

The Voice’ Season 4...New Team

Season 4 premiered this Monday, with new cast members Shakira and Usher replacing on-hiatus regulars Christina Aguilera and Cee Lo Green

Monday, March 25, 2013

Rais wa China, Mhe. Xi Jinping in Tanzania


arrived in Tanzania from Moscow on Sunday, since China is Africa’s largest trading partner his president  pledged to strengthen his nation’s ties with African nations during a key note speech in Tanzania on his first state trip to the continent.

baby bump in a pencil skirt

I don’t understand,does she comfortable?. wajawazito wa siku hzi wanavaa kawaida bila kujali mavazi yale tuliyozoea kuwaona wakivaa. wanapendeza yes ila je haina madhara kwao kuvaa tight skirt like this? or ndio digital. She looks beautiful.