welcome

dear viewers... karibuni katika blog yetu. kwa mawasiliano zaidi utatupata kwa email nicarwag@gmail.com. simu 0758921901

Monday, July 29, 2013

Nando atolewa ndani ya jumba la Big Brother baada ya kuonesha utovu wa nidham



Breaking News: Nando Disqualified-Elikem gets a Strike
Mshiriki wa kiume toka Tanzania aliyekua anatuwakilisha katika shindano la Big Brother Africa "The Chase" leo ametolewa nje ya jumba hilo na kusitisha uwepo wake katika shindano hilo lililojipatia umaarufu sana barani Afrika.

Tukio hilo limetokea baada ymalumbano kati ya NANDO na ELIKEM yaliyotokea Ijumaa ambapo walitukanana sana, lakini chanzo cha ugomvi huo kikionekana kua ni Nando.


Mbali na ugomvi huo NANDO aliwahi kukamatwa na KISU katika party ya Channel O jumamosi moja akapewa onyo. Ugomvi wa Ijumaa lilikuwa kosa la 2 na kosa la 3 aliloambiwa kwenye diary room ni kuongea maneno ya vitisho dhidi ya ELIKEM kua..."I feel like stabbing him. A nigga like that deserves to die".Pamoja na kukamatwa na Mkasi chini ya kitanda chake, basi bwana NANDO safari yake ikawa imeishia hapo.

NEW SITE IN TOWN

  
Meetnawe is a new social utility that brings all new people together to meet with you. Meetnawe also connects you with your favorite radio programs or tv programs.
     Meetnawe is the combination of two words “Meet” and “Nawe”. Nawe is the Bantu language (Swahili) which is the abbreviation of “Na wewe” which means “With you”. Meetnawe means MEET WITH YOU.

     Electronic media, Meetnawe gives the opportunity to the electronic media (tvs and radios) to create a special account for their programs. By doing so, Meetnawe makes a connection between them and their audiences.

     We thank you for considering us, and we guarantee you that you will enjoy staying with us.